Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kukamilisha ujenzi wa barabara ya Bagamoyo–Saadani–Tanga pamoja na daraja la Mto Pangani lenye urefu wa mita 525, endapo atapewa ridhaa ya kuunda serikali baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Saturday 1 November 2025
⁞
