Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka waratibu wa mfuko wa fidia ya ardhi kubadilika, katika kutimiza majukumu yao ya kila siku, akikemea tabia ya udanganyifu, wizi, na upindishaji wa haki katika ulipaji wa fidia kunakofanywa na baadhi ya watumishi.
Wednesday 29 October 2025
⁞
