Friday 31 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 month ago

DKT. SAMIA KUBISHA HODI MKOA WA LINDI

Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Septemba 24, 2025 anatarajiwa kuingia Mkoani Lindi, kuendelea na Kampeni za uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025.


Latest News
Hashtags:   

SAMIA

 | 

KUBISHA

 | 

LINDI

 | 

Sources