Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Septemba 24, 2025 anatarajiwa kuingia Mkoani Lindi, kuendelea na Kampeni za uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025.
				Friday 31 October 2025			
						
		⁞
 Sources
 Sources 
 
