Mahakama ya Wilaya ya Iramba, imemuhukumu kifungo cha maisha Jela, Barnaba Yohana Isaya (20), mkazi wa kijiji cha Nselembwe ,kata ya Sherui, Wilaya ya Iramba Mkoani Singida kwa kosa la kumlawiti mtoto wa kiume miaka minne (4) Mkazi wa kijiji hicho.
Wednesday 29 October 2025
⁞
