Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake inatekeleza mfumo wa miundombinu ya Kitaifa ya taarifa za kijiografia ambao kukamilika kwake kutaifanikisha nchi kuwa na ramani mpya ya Tanzania itakayoendana na mabadiliko mbalimbali ya kidunia.
Wednesday 29 October 2025
⁞
