Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Doto Biteko , amesema serikali imetengeneza sera wezeshi, sheria na taratibu ambazo zinamwezesha mwanamke kushiriki katika mnyororo wa thamani wa sekta ya madini.
Monday 3 November 2025
⁞
