Wizara ya Fedha inaendelea na zoezi la utoaji wa elimu ya fedha katika maeneo mbalimbali ambapo mpaka sasa wameshaifikia mikoa 15, ukiwemo mkoa wa Kagera, Singida, Manyara, Kilimanjaro, Arusha, Kigoma, Pwani, Morogoro, Rukwa, Lindi, Mtwara, Tabora, Shinyanga, Simiyu na Mara.
Wednesday 29 October 2025
⁞
