Wednesday 29 October 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 8 month ago

TANZANIA HAINA UGONJWA WA MARBURG, TUMEUDHIBITI

Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amesema Tanzania imefanikiwa kuudhibiti ugonjwa wa mlipuko wa Marburg na ameutangazia Umma wa Watanzania kuwa ugonjwa huo umeisha kutokana na kutokuwepo kwa mgonjwa mwengine yeyote tangu mgonjwa wa mwisho alipopatikana tarehe 28 Januari, 2025 na hadi kufikia tarehe 11 Machi, 2025 siku 42 zimepita. 


Latest News
Hashtags:   

TANZANIA

 | 

HAINA

 | 

UGONJWA

 | 

MARBURG

 | 

TUMEUDHIBITI

 | 

Sources