Jumla ya BVR Kits 4,257 zimesambazwa mkoani Mwanza na Shinyanga kwa ajili ya zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linalotarajiwa kufanyika kwenye mikoa hiyo kuanzia kesho tarehe 21 hadi 27 Agosti, 2024.
Monday 3 November 2025
⁞
